AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya JB akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata.
“Mapemaaaa...Kabla cku haijawa ngumu..! Haya ni hv wale wa kuandika ndoto za nn cjui...Mara cjui huwezi kumpata na cjui kimepanda kimeshuka...msinijazie comment😂😂😂Acha niwape ufafanuzi kdgo...ni hv Huyu Bwana swala ya yy kupenda....nimemwachia awapende kina @selenagomez na wengine wote anaotaka kuwapenda...ila swala la yy kupendwa Aniachie Mimi....yan hyo kazi yangu....!!!
Sasa Kama ni ndoto Wallah ctaki kuamka,Kama ni ufala...yani ninaukubali kwa asilimia 150%,na mengine mengine yote...sasa Kama nakuchefua,Nina uhakika Zile ndimu za @diamondplatnumz haziwezi kukutosha mana hiki kichefuchefu co cha kuisha,bora utafute mbegu ya Malimao au mbilimbi upande kwako kbsa....Na hili Zoezi ni endelevu...yani kila Jumatatu...Kama Mshahara vile....!!! #MCM...... #Nilikuwepo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Haya lulu karudi tena,hawa bila kujitoa mabloguni hawaoni raha......pima uo ukimwi wenu kwanza,maana nasikia wabongo mnaua watu makusudiiii,eti Justin bieber,kuma lenyewe ndembwe ndebwe,nyoooooo
ReplyDeleteutampata tu usijali ongeza juhudi
ReplyDeleteHuyu mtu kichecheeee eti anataka atombwe na kufilwa na bieber,maana kuwa girl friend Wa bieber ni ndoto,anataka mchepuko.ili maisha ya mnyookee.mibaba unayotembea nayo vipi?aikutoshelezi?
ReplyDeleteKumbe ndio maana shule ilimshinda,ana akili za kukimbiza kama samaki mtoni.
ReplyDeleteunataka nayeye umuue kama KANUMBA!!? Umechemkaaaaaaa
ReplyDeleteDamu ya kuua aitomuacha lulu,rest in peace Kanumba,tulikupenda ila Mungu kakupenda zaidi kupitia mikono ya Elizabeth Michael
ReplyDeletekuma huyu hana mana
ReplyDeleteUnaweza kumpata si upo kwenye chama cha wavaa suti
ReplyDeleteHeeee na lulu yuko kwenye hicho Chana ?wadada Jamani mtakufaaaaa kwa tamaa ya kupata PESA kishetanishetani,fanyeni kaziiiiii
ReplyDeleteLulu anapagawa na wanaume matajiri,katupia picha instagram ya klyn,anaanza kumuweka karibu ili zikitokea birthday aalikwe,ili apate nafasi ya kumbania jicho mzee machache,jack ntuyabaliwe taadhari na huu mkosi oohoooo
ReplyDeleteUnamshobokea, mtu mwenyewe mbaguzi wa rangi, Yani we ZERO
ReplyDeleteAtuulize sisi tunaokaa marekani,karibu na anga za bieber,yaaani sisi weusi anatuona wachafu anatuita gorilla.
Deletesasa na wewe lulu mpenzi wangu wa zamani, Bieber ni yeye au kuna mfano wa bieber unaumaanisha hapa hapa dar, anyway Bieber mwenyewe ni homosexual unataka ukamsage au? all the best ila angalia tuchune tuchunike ufanye yaliyo yamsingi na uwekeze pia ule ziuri na kupumzika na mazoezi ya kutosha
ReplyDeleteshe z desparate anataka mambo makubwa asiyoyaweza
ReplyDelete