Meninah Azua Jambo Asema yeye na Diamond Hawaendani Kuwa Wapenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Meninah Abdulkareem ‘Meninah’ amefunguka juu ya tetesi zinazoeneo kuwa na uhusiano wa chinichini na Nasib Abdul ‘Diamond’ kwa kusema kuwa siyo levo yake

Akichonga na paparazi wetu, Meninah anayetamba na ngoma ya Pipi ya Kijiti alikanusha na kusema kuwa, wote ni mastaa lakini wametofautiana kwa kiasi kikubwa na kwamba hawezi kuwa naye katika mahusiano ya aina yoyote.

“Kwanza nilishawahi kukutana naye kwenye shoo tofauti na zote sikuwahi hata kuzungumza naye chochote, ni staa na mimi staa lakini tunatofautiana kuwa yeye yupo juu yangu,” alisema Meninah.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ASANTE KWA KUMKUBARI KUWA YUKO JUU YAKO NA ONYENYE NAYE YUKO JUU YAKO PIA

    ReplyDelete
  2. Nyie endeleeni kumsikiliza huyu Malaya,kashalala na diamond,na bado dai atalala na wengi,na kashawaambia wote anaowatia avai kondomu kwa madai kwamba anawaamini woteee eti ni wazima.

    ReplyDelete
  3. Mungu hakunyimi vyote,dai alivyokuwa mbayaaaa Wa sura,ingekuwa si usupa star na PESA ,mpaka sasa hivi angekuwa Bikira,sidhani Kama angepata Wa kumtia,Dai jilie vitamu baba ndo muda wako huo,ukipita muda Kama mr nice hupati ngooooo Wa kukuvulia chupi

    ReplyDelete
  4. Mungu kamyima mbegu za uzazi,kalala na wanawake Wa kutosha tu hakuna hataaa aliyeshika mimba.nahuku havai mipira.

    ReplyDelete
  5. havai mpira aliwai kukufira na wewe nn ndo mana unasema kwa uhakika kuma ww apo juu.

    ReplyDelete
  6. Ndio kashawahi kunilala ndo maana nasema kwa mapana,avaiiiii,na sisi wanawake tulivyokuwa dhaifu tunafikiri tutaongwa hela ndefuuuuu tunabanuaaaa tu

    ReplyDelete
  7. duh kama havai mpira huyu jamaa anajitafutia mabaya, kwahawa vicheche vyetu!! duh! kama kasema hivyo kweli basi naye akapime tu, halafu awe mkweli tu kama lil wayne!!! kwamba keshauvaa!!

    ReplyDelete

Top Post Ad