AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tatizo alilo nalo mke wangu ni kwamba kwa sasa hakamatiki! Hatulii. Anatembea hadi na marafiki zangu. Kibaya zaidi ni kwamba siku hizi kila nikitaka kufanya naye mapenzi ananiambia hajisikii kufanya hivyo.
Ameanza kunidharau na kuniona mimi sina hadhi kwake. Inaniuma sana.
Wazazi wa pande zote mbili wamejaribu kulitatua hili bila mafanikio.
Sasa nimeona kabla ya kuchukua maamuzi mengine mazito nimeamua niwashirikishe mnipe ushauri wenu. Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pole wanawake ndo walivo we mwache aende zake maana ukimung'ang'ania atakuletea ukimwi ufe kabla ya sku zako. Imeandikwa kuwa ndoa yaweza kuvunjika kwa uzinzi.
ReplyDeletePole wanawake ndo walivo we mwache aende zake maana ukimung'ang'ania atakuletea ukimwi ufe kabla ya sku zako. Imeandikwa kuwa ndoa yaweza kuvunjika kwa uzinzi.
ReplyDeleteNawe ushambiwa huzuri si hoja, si uanze mbele tu, au wasubiri ukimwi au ebora, manake hata ebor inambukiza kwa kugusana, na unavyosema kitombi, asije akagusana na hayo, manaake hata Tukisema bongo hakuna ebola, bongo iko Africa, na mke kitombi kila apitae nae ataka pita
ReplyDeleteuzuri wa mwanamke si sura wala shape bali ni tabia.
ReplyDeleteulitamani uzuri wake kabla ya kuchunguza tabia .akikushinda aachane nae wanawake wapo wazuri kuliko yeye pia wenye tabia nzuri.pia nakushauri achana naye asije akakuletea ukimwi.
ReplyDeletemke wako alikuwa mlaya hata kabla ujaowa nadhani hata marafiki zako walikuwa wanajua .umalaya hajaaza kwako ,kama ndoa ulifungia kanisani nenda katengue kama msikini hivyo hivyo usijali kabisa atakuuwa kaka.
ReplyDeleteNitajie jina la mkeo nikusaidie ushauri
ReplyDeleteSophia
ReplyDeleteSio sophia, anaitwa Farida tunaishi segerea
ReplyDeletehuyo mwanamke kaka achana nae
ReplyDeleteAna pepo wa ngono mpeleke kwenye maombi tu ndiyo dawa
ReplyDeleteNaamini Mungu ndiye alikupa huyo mwanamke basi atabakia kuwa wako cku zote hizo ni hila za shetani tu muombe mungu ambadilishe mkeo kwan sio malaya angekuwa malaya usingefika nae hapo ulipo kumbuka unamamlaka ya kushinda majaribu uckate tamaa....mungu atakusaidia
ReplyDeletewell said anoy 2:17
ReplyDeleteAshurah wa mabibo.
ReplyDeleteKaka,jarb kkaa nae ujue tatzo,,yamkn akkupa humtomb vzr
ReplyDelete