AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo ambalo kwa sasa ndiyo gumzo mkoani hapa lilijiri usiku wa Agosti 3, mwaka huu katika mashamba ya Kata ya Mlali ambapo ndugu wa marehemu waliokuwa wakimsaka ndugu yao walifanikiwa kuona kiwiliwili Agosti 6, mwaka huu.
Kwa mujibu wa Diwani wa Kata ya Nyandila (Chadema), Peter Joseph Zengwe, Agosti 15, mwaka huu baada ya mauaji hayo kutokea, vijana wawili, Amos na Mohamed Chali walikamatwa na polisi wakidaiwa kuhusika na mauaji hayo.
“Siku chache baada ya mauaji hayo, Amos na Mohamed Chali walifuja pesa kwa kunywa pombe kupita kiasi ambapo mmoja aliropoka kilabuni kwamba walilipwa fedha nyingi kwa kumuua Mathias.
“Baada ya majigambo hayo, watu wakatoa taarifa polisi na wahusika wakakamatwa na ndiyo waliomtaja Johnson,”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Inna lillah wainaillah rajiun.
ReplyDeletepesa pesa pesa pesa pesa hakuna wa kumuamini shauri ya PESA
Upanga kwa upanga na wao wachinjwe
ReplyDeletemalipo ni hapahapa duniani
ReplyDeleteDamu yake itawatafuna nyie muweweseke
ReplyDeletempaka siku ya kuingia kaburini.R.I.P. Mathias.