AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni mazingaombwe yanayoweza kupatikana tanzania pekee duniani.
'ikulu inatoa tamko lao kuwa bunge litaendelea na katiba lazima ipatikakane bila hata ya kuwepo umoja wa katiba ya wananchi [ukawa].
Na wakati huo mwanasheria mkuu wa serikali anakuja na vituko vingine vya kuueleza umma wa watanzania kuwa bila [ukawa] katiba mpya haiwezi kupatikana.na tena anaenda mbali kwa kuwaomba kwa moyo mweupe na kiunyenyekevu wale aliowaita matumbili,ati tu kwa sababu wanapigania maslahi ya umma wa watanzania kuwa ame miss manjonjo yao ya kupigania ukombozi wa watanzania!
-hapa tukubali tukatae lazima kutakuwa na ombwe la uongozi nchini.
Na askofu zackari kakobe atashinda kwa unabii wa maneno yake kuwa c.c.m itasambaratika katika ramani ya dunia na hatutaiona wala kuisikia tena!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahahaaaaa sijawahi kumsapot kakobe lakini hapo umenikosha baba. naanza kukuelewa
ReplyDeletehahahaaaaa sijawahi kumsapot kakobe lakini hapo umenikosha baba. naanza kukuelewa
ReplyDelete