AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna habari japo imewekwa kama tetesi, ina ukweli kwamba CHADEMA wanatarajia kuitisha mkutano na waandishi wa habari kuzungumzia sakata la bomu la soweto ambalo mpaka hivi leo hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na serikali. Inasemekana Mbunge wa Arusha mjini atakuwepo kwenye press hiyo na waandishi wa habari, ambao watapewa video hiyo kama ushahidi ili umma wa watanzania wauone mkanda ambao utatoa taswira chanya kwa wananchi kujua ukweli kuhusu tukio lenyewe.
Habari ambazo zimepatikana ni kwamba CHADEMA wataitisha mkutano na waandishi wa habari kabla ya kurusha video ya bomu la soweto, ambalo lilionyesha wazi jinsi polisi walivyohusika kutekeleza ulipuaji wa bomu.
Mkutano na waandishi wa habari unatarajiwa kuwa siku ya jumapili muda na mahali itatangazwa.
Tutaendelea ku update kadiri tutakavyokuwa tunapokea taarifa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wanataka kiki ili wapate kura mwakani.....
ReplyDeleteSafi Chadema wekeni mambo wasiwasi Police wawe Magaidi kisha wamakamata wasio na hatia kazi yao kuwapa watu kesi za kutunga
ReplyDeleteHiyo ni safi kwani serikali na jeshi lake zinaendeshwa kisiasa, wanakurupuka kukamata watu kisha wanaleta mbwembwe kibao kumbe wanabahatisha.
ReplyDeleteJamani nipo ucngizini au wazimu unanianza cjijui??? Bom la soweto?? Lile la south Africa tulilolisoma mpaka kwenye histry au?? Maana kama ni lile na chadema wapi na wapi.. em nisaidieni ufafanuzi jamani kabla cjahic kuchanganyikiwa!!
ReplyDelete