AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika Interview ya Coke Studio iliyofanyika Siku Kadhaa Zilizopita Akihojiwa Diamond Platnumz pamoja na Mwimbaji wa Nigeria, Diamond alijitahidi Sana kujibu Maswali aliyokuwa anatupiwa kwa kingereza na Host wa Show Hiyo, Mimi Mwenyewe nilikuwa naogopa atachapia, lakini kwa elimu ya St Kayumba aliyonayo Diamond Ki ukweli alijitahidi sana, Wasanii wengi wa Bongo Kingereza ni shida..Hongera Wema Kwa Kumbrash kijana wetu ..Diamond mwenyewe alishawahi kusema Wema Ndio Humfundisha Kidhungu…Kwi kwiii
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
ndo maana dogo hua anakurupuka lkn badae anarud kwa wema chezeiya wema weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDelete