AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na mwandishi wetu, Esha alisema anafahamu na anawashangaa watu wanaoponda maeneo hayo ya mwili wake kwani kwa upande wake anaamini kuwa mwanamke sura, makalio majaaliwa kwani hata mwanaume aliyemuoa analijua hilo na anampenda jinsi alivyo.
“Kwa kuwa mume wangu ananikubali jinsi nilivyo hainiumizi kichwa kwani mimi naamini sifa ya mwanamke ni tabia na wala siyo shepu kama wengine wanavyofikiria,” alisema Esha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hamna cha kuandika?umbea wa kijinga tu.
ReplyDeleteujinga tu admin kwanza kumamamamamamamako post gani iz kuwa na makalio madogo ni maumbile kama wengine kuwa wafupi warefu wanene nk ww hatukujui tu weka picha yako na pozi lako zuri tukudiscuss boya ww
ReplyDeletejaman mkiona admin kaandika ujinga haina ulazima kusoma achen wapo watakao soma huo ujinga
ReplyDeletematusi sio njia sahihi ya kumrekebisha mtu sijui ni dini gani inaruhusu matusi tukumbukeni kuna kufa je tutajib nini kwa ishu ndogo kama hii matusi makubwa kama hayo….
ReplyDelete