AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Man United ambao walishinda mechi iliyopita ya ligi dhidi ya QPR kwa ushindi wa magoli 4-0, leo hii wameonja kipigo kizito kutoka kwa Leicester, baada ya kukubali kufungwa 5-3.
Man United ndio waliokuwa wa kwanza kuliona lango la Leicester kupitia Robin van Persie, kabla ya dakika baadae Angel di Maria kuongeza la pili.
Dakika moja baada ya United kufunga goli la pili, Leicester wakafungw goli la
Kwanza kupitia Ulloa na mpaka mapumziko matokeo yalikuwa 2-1.
Kipindi cha pili Ander Hererra akaifungia Man United goli la 3, lakini dakika chache baadae Leicester wakapata penati na kufunga goli la pili, huku United wakiwa bado na hasira za kulalamikia maamuzi ya refa, Estaban Cambiasso akafunga goli la kusawazisha.
Mchezaji aliyeng’ara kwenye mchezo Jamie Vard akaifungia City goli la 4, kabla ya dakika baadae Nugent kufunga goli la tano kwa mkwaju wa penati.
Mpaka refa anapuliza kipenga cha mwisho Leicester City 5-3 Man United.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK