Msanii wa Bongo Movies Afunguka, Nipo tayari Kupungua Tumbo Langu Lakini sio Makalio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo Movies Bupe Ameongea na Udaku Specially Kuhusu umbo lake la Utata Mwingi hasa upande wa Nyuma.

“Makalio yangu Siyo Mchina, nimayarithi kwa mama yangu mzazi, ni mnene kama nilivyo mimi.”

USUMBUFU ANAOKUTANA NAO
“Si unajua wanaume wengi wanavyodata wanapoona wanawake waliojazia, usumbufu wao kwangu ni mkubwa sana kwa kweli.”

ANAJIKUBALI
“Mimi natamani kupungua tumbo tu lakini siyo makalio kwa sababu haya ndiyo yanawavutia watu, nikipungua nitakosa mvuto.”

“Huwa napenda kuvaa nguo fupi kama sketi na gauni kwa sababu mguu wangu ni wa bia halafu ni mzuri na unavutia.”

SAIZI YA NGUO ZA NDANI
“Kwa kweli saizi ninayovaa sijui na ni mara chache sana navaa kutokana na umbile langu na hali ya joto la Dar.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad