Uwezi Amini Kuna Watu Wanakula Nyama ya Paka Kwa Kukosa Chakula cha Kupika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Habari imeripotiwa Kutoka Kenya Mkoa wa Baringo na mtandao unaitwa Nairobi exposed , Inasemekana hali ya chakula huko katika Mkoa huo wa Baringo ni Mbaya Sana Kiasi kwamba wenyeji wa Mkoa huo hutegemea tu chakula cha Misaada na kwa vile chakula hicho hakina huhakika kuna muda huwa kinakosekana kabisa na kufikia wananchi kula nyama ya paka ambao huwafunga..
Tuwaombee Wenzetu Jamani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad