AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Balotelli anadaiwa kufanya hivyo kutokana na kuchukizwa na kitendo cha mwanamke huyo ambae alionekana akichukua picha za gari lake aina ya Ferrari juma lililopita.
Taarifa za jeshi la polisi mjini Manchester zimeeleza kwamba hakuna uhalifu wowote uliotokea na kumuhusu mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ambao umewasilishwa kwao ama kurekodiwa.
Hata hivyo imeelezwa kwamba mwanamke anaedaiwa kutolewa maneno makali na Baliotelli hakuwasilisha malalamiko katika jeshi la polisi na ndio maana ripoti ya jeshi hilo imeonyesha hakuna lolote linaweza kumfika Balotelli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK