Dada wa Mwanamuziki Diamond Anayejiita Esma Plainum Ambae Ameolewa Hivi Karibuni na Petit Man Amepost Video Kwenye Instagram Page yake Huku Akitoa Mipasho ya Taarabu yenye Kuwananga Wanao Ona Wivu Juu Yake Kuolewa...Baadhi ya Maneno yanasikika Akiimba 'Mwaona Donge la Nini Kama Mnaweza Pandani Juu mkazibe' Je Kunani Tena ? Jionee Mwenyewe Hapa:
Ni sheeeeedaaah haya mnaokerwa cjui kina nani ujumbee huoooo pandeni juu mkazibe...kila kheri ndoa yenu idumu milele
ReplyDeleteMdau,malimbukeni wa hivi ndoa hazidumu,utasikia tu.
DeleteSo uliolewa kwa mapenzi au kuonyesha watu, kwnn hamjiamin, omba mungu aiongoze ndoa yk vinginevyo ushamba tuu
Deletemakubwa!
ReplyDelete