AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inasemekana Mwanamke huyo alisikika akipiga kelele kutoka kwenye chemba hiyo ambayo ilikuwa haina sehemu ya kutokea bali matundu madogo ya kutolea maji na uchafu ...Watu walioshuhudia tukio hilo walibaki na maswali ameingiaje humo na wakati hakuna sehemu ya kuingia...ili kumtoa ilibidi wananchi watafute vifaa vya kukatia chuma ili kukata mifuniko ya chemba kumtoa..
Alivyotoka alisema meneno haya ,Jina langu ni Amudat Jimoh :
"Ni mungu ndio ameniweka huko kwenye chemba ili nitubu madhambi yangu nisije kufa...nahitaji maji ya kunywa tafadhali..Please help me.."
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK