AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Big Brother Africa: Mshiriki wa Kike wa Botswana AJILEGEZA Kwa jembe letu la Kiume ( Idris) linaloiwakilisha Tanzania ... Siku washiriki wa BBA Hotshots wanatambulishwa, mwakilishi wa Tanzania, Idris Sultan alimwambia mtangazaji IK kuwa cheche zake zipo kwenye masuala ya wanawake. Huenda sasa shughuli imeanza. Baada ya binti mrembo wa Botswana( Goitse) kumzingua mshikaji ( Idris ) aliyekuwa ametupa jiwe kumtaka awe mpenzi wake, hatimaye Idris jana alimnasa binti huyo na kula naye dinner pamoja... Ni kama ndoto vile!!....Dinner hiyo iliandaliwa na kufanikishwa na washikaji zake wa karibu Nhlanhla na JJ ambao walisaidia kupika chakula hicho kuhakikisha kuwa wawili hao wanakuwa na mtoko utakaowafurahisha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK