UKAWA kufanya Mkutano Jangwani siku ya Jumapili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) unawatangazia Wananchi wote wazalendo wapenda nchi yao kuhudhuria katika Mkutano Mkubwa wa aina yake wenye lengo la kuizika CCM siku ya Jumapili katika viwanja vya JANGWANI kuanzia saa 8:00 Mchana. 

Njoo ushuhudie tukio muhimu la kihistoria ambapo Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vinavyounda UKAWA watakavyosaini Makubaliano ya pamoja ya ushirikiano ktk Chaguzi zote zijazo kuelekea 2015.

Mkutano utarushwa live na kituo cha ITV.

Njoo ujionee namna madalali wa nchi hii watakavyoumbuliwa na katiba yao feki kusasambuliwa!

Mpe taarifa hii na mwenzako.

UKAWA TUMAINI LETU!
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad