AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) unawatangazia Wananchi wote wazalendo wapenda nchi yao kuhudhuria katika Mkutano Mkubwa wa aina yake wenye lengo la kuizika CCM siku ya Jumapili katika viwanja vya JANGWANI kuanzia saa 8:00 Mchana.
Njoo ushuhudie tukio muhimu la kihistoria ambapo Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vinavyounda UKAWA watakavyosaini Makubaliano ya pamoja ya ushirikiano ktk Chaguzi zote zijazo kuelekea 2015.
Mkutano utarushwa live na kituo cha ITV.
Njoo ujionee namna madalali wa nchi hii watakavyoumbuliwa na katiba yao feki kusasambuliwa!
Mpe taarifa hii na mwenzako.
UKAWA TUMAINI LETU!
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK