AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Na muda wake wa kuondoka ulipofika ikabidi nguvu ya ziada itumike kuondoa mashabiki waliozingira gari lake kwa muda kadhaa wakitaka japo kumuona kijana huyo.
Big up kwake kwa kuonesha kutovunjika moyo na kupata confidence ya kumiliki jukwaa.
VIDEO:
Post by Diamond Platnumz.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
we admini acha kumfananisha huyu jamaa na Kiba, kila mtu anaswaga zake na kila mmoja ni bora!!! na diamond hakuzomewa na washabiki wa Kiba, ila amezomewa sababu ya ubishoo wake!!
ReplyDeleteHuna lolote @12:16pm
Deletehana lolote nani? diamond? au wewe?
Deletehahahaaa, shoo za bure watoto wa uswazi wamejaa hapo hauwezi fananisha na shoo wanaolipia watu, na yeye kabeba watoto wa tandare kuja kumshangilia
ReplyDeleteAdim go back to school, idiot!! Ali kiba na Diomond ni kama Simba na Yanga kila mtu na mashabiki wake.Usiwalinganishe mnapenda sana Bifuuuu nyie watu wa ma blog.
ReplyDeleteHiyo fiesta si sawa na bure, acheni unazi wa nafsi Ali kiba atasubili sana kumfikia dangote, ukweli ndio huo hawaulize wakina yemi alade, davido na mafikizolo ndio wanajua Diamond ni nani kwenye nchi zao sio nyie maskini wa nafsi mnaemuonea donge kwa mafanikio yake, fyuuu
ReplyDeleteSi vyema na si sawa kuwagombanisha washabiki na watanzania kwa migawanyo ya kimuziki, muziki ambao utamaduni wake ni kufurahisha, kuburudisha na kuliwaza. Kwa nini watanzania kuwa na kinyongo kwa sababu ya hulka za kimitandao ya kijamii na ya kiuanadamu. Tuache hizo ndugu zangu, wote Ali an Diam wana michango yao kwenye tasnia ya muziki. Big up Alikiba! big up Diamond!
ReplyDelete