AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Sitti Mtemvu akiwekwa kitimoto na Watanzania kwa kudanganya umri wake, Waganda nao katika mitandao ya kijamii wamecharuka na kuwakaba koo waandaaji wa Miss Uganda kuwa mshindi aliyepatikana Leah Kalanguka Miss Uganda 2014 ni mbaya na hakufaa kushinda taji hilo.
Kwa kumuangalia tu mrembo huyu, ni kweli hakustahili taji hilo?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wala sio mbaya!! wa tz ni muongo sana!!! aseme ana miaka mingapi? hilo taji sitti hausitahili kabisa. Dhamira yako haikusuti jamaniii???
ReplyDeleteianze kwanza kwako kukusuta kwa kukumbuka shuka wakati kumekucha,ndipo na siti atafikiria kimsingi mimi bado nipo upande wa mwanadada huyu . kwanini mwanzo i mean wilaya , mkoa , miss tz ndo muibue vikwazo? ahaa wazushi nyie mmezoea kuongea ukuda mpaka kwa viongozi mnazua kashfa za ajabu
ReplyDeletewewe nawe ona haya kabisa miye hayo mengine hayanihusu waulize wa temeke kwanini alisema uongo?? tumezusha nini hapo sasa ??? jisikie vibaya basi na wewe jamani kha!!!
ReplyDeleteMiss Uganda anaumri gani? Sura yake anaonekana ni binti mdogo tu, tena anaweza hata kushinda ktk Miss World kwa sababu 'hakufoji' rangi yake ya ngozi kama SITTI alivyo foji kuanzia rangi, umri, mpaka elimu eti ana Masters!!.
ReplyDeleteSema wewe mwenzangu hivi kweli anaweza kwenda miss world kwa udanganyifu huuu?? Nashangaa wanaomtetea wakati wanajua wenzentu hawana mchezo !!! Sitti usijaribu kwenda miss world utatuaibisha kwani kwanza huwezi kukubali wewe miaka 25 na kule ni 18-23 tu, Pole wewe!!! Watanznia mmezuea kubebana umebebwa kuanzia kitongoji hivi unafikiri miss world watakubali ?? na wameshapata data zako!!!
ReplyDelete