AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Good news iliyonifikia usiku huu kuwa Mtangazaji wa TV Penny Mungila aka VJ Penny na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu wamemaliza tofauti zao baada ya kutoelewana takribani miezi kadhaa iliyopita.Upatanisho huo umefanywa na Junaitha ambaye aliandaa chakula cha usiku katika hoteli ya Sea Cliff Hotel Dar es Salaam.
Mastaa hao wawili walitengana baada ya kila mmoja kuwa na uhusiano wa kimapenzi na staa wa Bongo Fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinumz huku wakiacha gumzo katika mitandao ya kijamii.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Hilo nijambo jema ILA cheko la madam laki snitch.
ReplyDeletePenny wake up huyo dai mliokuwa mnamgombania atakuua kwa Ebola oohoooo,unakosana Na watu kisa Domo ?mbona he is not cute??au PESA ?
ReplyDeleteWanapata baada ya kubwagana na Diomond, si mngepatana kabla, ila kila la heri isiwe kupatana kinafiki uwe upatano wa kweli.
ReplyDelete