Zito atuhumiwa kuomba msaada wa kifedha kutoka iptl ili afifishe suala la escrow

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwenyekiti wa PAC,Zitto Kabwe, atuhumiwa kuomba rushwa kutoka kwa mmiliki wa mtambo wa IPTL ili azime sakata hilo kupitia kamati yake.

Tuhuma hizo zimetolewa na katibu mkuu wa chama cha kijamii ambae amedai message ya Zitto kwenda kwa singasinga huyo ilinaswa.

Hata hivyo,mh.Zitto amekana tuhuma hizo na kudai kuwa maamuzi hafanyi peke yake na kwamba kashifa hiyo ni kubwa inayoweza kuangusha tembo mkubwa na hiki kinachoendelea hivi sasa kuhusu sakata hilo ni kishindo cha tembo huyo anaetaka kuanguka.

MY TAKE:
Pamoja na mapungufu ya Zitto, lakini kwa hili, sidhani kama ni kweli.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Zitto hawezi kuwa mjinga kiasi hicho, counter attack zao za kitoto hizo.

    ReplyDelete
  2. Hivi zitto ndo nani??hahaha! !

    ReplyDelete
    Replies
    1. zitto ni mzitto na unalijuwa hilo kamuulize baba na mama yako...

      Delete
    2. lakini si wazazi wako pia he he he h e

      Delete
  3. ACT wanajaribu kuionesha/kuihadaa jamii kuwa hawako pamoja na Zito.

    ReplyDelete
  4. namshangaa sana Mungu aliyemchukua mchapakazi rais Satta akamuacha huyu kilaza wetu proffesa wa kichina akitanua duniani.

    ReplyDelete

Top Post Ad