AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tuhuma hizo zimetolewa na katibu mkuu wa chama cha kijamii ambae amedai message ya Zitto kwenda kwa singasinga huyo ilinaswa.
Hata hivyo,mh.Zitto amekana tuhuma hizo na kudai kuwa maamuzi hafanyi peke yake na kwamba kashifa hiyo ni kubwa inayoweza kuangusha tembo mkubwa na hiki kinachoendelea hivi sasa kuhusu sakata hilo ni kishindo cha tembo huyo anaetaka kuanguka.
MY TAKE:
Pamoja na mapungufu ya Zitto, lakini kwa hili, sidhani kama ni kweli.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Zitto hawezi kuwa mjinga kiasi hicho, counter attack zao za kitoto hizo.
ReplyDeleteHivi zitto ndo nani??hahaha! !
ReplyDeletezitto ni mzitto na unalijuwa hilo kamuulize baba na mama yako...
Deletelakini si wazazi wako pia he he he h e
DeleteACT wanajaribu kuionesha/kuihadaa jamii kuwa hawako pamoja na Zito.
ReplyDeletenamshangaa sana Mungu aliyemchukua mchapakazi rais Satta akamuacha huyu kilaza wetu proffesa wa kichina akitanua duniani.
ReplyDelete