AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yuko wapi? Tuliambiwa anaumwa, vipi maendeleo yake?
Kwa anayejua...atujuze
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
NI KWELI KABISA JAMANI YUKO WAPI ??
ReplyDeletejamani "mrema" wetu tumemkumbuka kwa saana vipi hali yake??
ReplyDeleteJamani dunia hii watu wamekuwa na roho mbaya sana,Kwani mtu ukitaka pesa lazima lazima mumfanyie mwenzenu vibaya,nyie wakaka mna roho mbaya sana,ila malipo ni kwa mungu halafu ipo siku jamii itajua ukweli wote!the comedy mimi binafsi nimeshamalizana nayo,usio jua poleni zenu.ila mungu anaona.
ReplyDeletemdau tuambiane basi maana wenzio roho zinatuuma yuko wapi vengu jamani!!!
DeleteYaani kwa kweli tumemmiso kinomi!
ReplyDeleteWenzetu Nigerians wana amini UKIIGIZA KAMA UNAUMWA AU UMEKUFA lazima ukaombe Mungu kama unatoa nuksi vile sasa huku kwetu unaigiza unaendelea na maisha yako. Chunguza wengi walioigiza mwisho wa siku wamepata mabalaa. Wasanii jaribuni kujifunza katika hili maana sisi ni Waafrika na tunaamini katika Uafrika.
ReplyDeleteAlimuigiza sana Mrema alivyokuwa anaumwa sasa yeye kaumwa kweli....
ReplyDeleteAkaombe dua atoe huo mkosi wa kuumwa km Wanaigeria wanavyofanya.
Kanumba aliigiza kufa akafa kweli wenzao wakishamaliza wanaomba Mungu awaepushe na yote waliyoigiza.
Steve N alimuigiza Nyerere ,si haba. Rais wa Bongo muvi
ReplyDelete