AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dangote |
List imeongozwa na Mnigeria Aliko Dangote (kwenye picha hapo juu) na mtanzania wa kwanza ameonekana kwenye namba 27 akiwa na utajiri wa dola bilioni moja.
Watanzania hawa wanne ni Rostam Aziz kwenye namba 27, Reginald Mengi namba 34, Bakhresa namba 38 na Mohammed Dewji namba 38.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtajiri wa bara hili ni michosho tu hawanamichango ya aina yoyote, kama kulipa kodi kihalali, bali ni uwongo uwongo tu wa kukwepa kodi, waendelee kutajilika, na kuwanyonya masikini, kutwa kupandisha bidha zao,kodi ni kufukuza na kina mama ntilie wao huko vitumbo juu, na hao wakusanya kodi ufisadi umejaa mpakaa kwa wizi
ReplyDeleteD I A M O N D P L A T N U M wetu yumooooo
ReplyDeleteDiamond si ajaribu angalau kumfikia Ay tu kwanza.... alafu kunaongelewa matajiri sio wenye hela ya kubadilishia mboga...
ReplyDeleteMinamkubali bhakressa tu kwa Tanzania ssababu mchango wake unaonekana katika jamii.na mengi hao wengine watajirike salama lakini they ar selfish
ReplyDeleteTUONYESHWE HIYO LIST USITUTAJIA NAMBA
ReplyDeleteMbona list haionekani ?poster weka hiyo list...
ReplyDeletekujua nani zaidi au nani mm hainihusu kwani kula kwangu wala wao hawachangii na nikilala njaa wala wao hawastuki sasa faida ipo wapi kuwajua matajiri wajisaidiao wenyewe? kheri huyo agawae pesa kipindi Fulani cha dini naye pia Mungu wake ndiye amjuaye na huyo amgawiaye akapata mkate wake walau wa cku hiyo. wengine tupa kule
ReplyDelete