Mahakama Kuu imesimamisha mjadala wa Ripoti ya Escrow kujadiliwa Bungeni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nimepata taarifa muda huu kutoka kwa mtu aliyeko Mahakama Kuu kuwa kutokana na taarifa iliyokuwa inaelezwa kuwa jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu watasikiliza kesi iliyofunguliwa na IPTL na PAP kuzuia bunge kujadili suala la Escrow.

Imeamriwa na Mahakama Kuu chini ya jopo la majaji watatu kuwa wamesimamisha mjadala wa Ripoti ya Escrow hadi hoja za msingi zitakapo fanyiwa kazi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad