Moja ya Sababu ya Kenya kuwa Juu ya Tanzania Kiuchumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo katika taarifa ya habari saa 1 jioni ya kituo cha televisheni cha K24 cha Kenya imeonesha mchakato wa usajili na uandikaji namba mpya za magari nchini humo, uandishi wa vibao vya namba za magari unaofanywa na wafungwa wa gereza nchini humo.

Uandishi wa vibao vya namba za magari ni mradi endelevu tena wenye kuingiza fedha nyingi mno. Kwa hapa kwetu,mradi mara ya kwanza ilipewa kampuni binafsi. Inasemekana kampuni hiyo ina ubia na Waziri Mkuu wa zamani,ambaye ni fisadi mjanja sana. Ameificha miradi yake ya kifisadi kwenye majina na makampuni yaliyochini ya watu tofauti tofauti.

Hapa nchini,makampuni yenye kuzaa faida yamechukuliwa na viongozi mafisadi,mfano,makampuni ya mawasiliano yalichotwa hisa za umma kupewa wageni kwa niaba ya mafisadi wazawa walio ndani ya Serekali, angalia TTCL,ATCL, aidha, inasemekana tiGO ilipokuwa chini ya MIC ltd serikali ilikuwa na hisa % 17 ambazo zilichotwa kinamna na spika mmoja wa zamani wa bunge la JMT.

Huko Kenya kampuni ya simu ya umma ndiyo inashikilia na kutamba katika nyanja ya mawasiliano nchini humo.

Kwa mfumo huu, Kenya itendelea kututimulia vumbi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad