Zitto na Kafulila Walibezwa na Kudhallilishwa je Waliowadhalilisha leo Wanajisikiaje?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiukweli nilisikitika sana pindi nilipoangalia bunge na kumsikia AG akimdhalilisha Kafulila kwa kumuita tumbili ulikuwa ni ubaguzi wa hali ya juu mwafrika kumuita mwafrika mwenzake tumbili tunayaona ulaya tu tena kwenye mchezo wa kandanda.AG huyu hakuishia hapo akamtisha na kukiondoa kichwa chake.Siku zikifuata tukamsikia katibu mkuu mwenye jeuri ambaye kafukuzisha mawaziri wengi kazi sababu ya upigaji wake akaibuka na kuwabeza Zitto na Kafulila kuwaita wala rushwa na kukazia hawa ni tumbili na wana makaratasi ya kufungia maandazi wanajidaia kinga ya bunge watoke nje kama ni wanaume kweli niwaoneshe na kutoa vitisho vingi na kujinasibu yeye ni msafi.Sasa wazee ripoti ipo mezani tunasubiri tuone usafi wenu sasa bwana katibu na AG
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad