Navio Awakubali Wakali Bongo Flava Tanzania..Ataja Msanii Anaye Taka Kufanya Nae Wimbo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapa mkali kabisa kutoka Uganda, Navio ambaye kwa sasa yupo hapa nchini Tanzania kwa shughuli za kimuziki, amewataja wasanii Shaa, Diamond, Joh Makini, Izzo Business, Vanessa Mdee na AY kama wasanii kutoka hapa Bongo ambao anawakubali zaidi.

Navio ameiambia eNewz kuwa, kazi za wasanii hawa pamoja na moyo wao katika kazi ni kati ya vitu vinavyomfanya kuwaelewa zaidi pamoja na kufurahia kazi zao.
Rapa huyo pia ameweka wazi uwezekano wa kufanya kolabo na wasanii kutoka hapa Tanzania, akiwa tayari katika maongezi ya awali na msanii Izzo Business.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad