Bilionea na Mmiliki wa Mitambao ya IPTL aja Juu Asema Hato Kubali Mitambo Hiyo Kutaifishwa na Serekali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bilionea na mmiliki wa mitambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Harbinder Singh Sethi,
amesema hatakubali hata kidogo kutaifishwa mitambo yake ya kuzalisha umeme ya IPTL kama ilivyopendekezwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) mjini Dodoma hivi karibuni.
Nini maoni yako juu ya hii kauli yake ?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad