AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari hizi, kwa kuwazuia kuingia ndani ya chumba cha mahakama wala kupiga picha, kwa madai kwamba sheria zao haziruhusu.
Wakionekana kama waliopewa maelekezo maalum, waliwataka kupeleka barua kutoka chombo chao cha kazi, kwani hata baada ya kuwakumbusha kuwa zoezi hilo lilishafanyika siku za nyuma, badala ya kupekua mafaili yao ili kuiona barua hiyo, waliwataka kwenda kuleta nakala ya barua iliyoandikwa awali, zoezi ambalo lilikuwa gumu kutokana na muda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK