AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yani msanii badala ya kuimba anapiga mayowe tuu huku akiwaelekezea mashabiki maiki. Kiufupi miziki ya kibongo bora kusikiliza redion lakin sio kwenda kutazama kwenye show!!
Juzi Nilikuwa Kwenye Show moja Ki ukweli nilichokuwa nasikia ni Yo yo yo...Piga Keleleeeeee, Mpaka wimbo ukaisha
Sasa ninyi mnaoendaga huko mnainjoi nini hasa?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wanaenjoy Makelele. What is your problem
ReplyDeleteikiwezekana wawekee na fare kabisa wanaoweza wajipime make wanahisi nauli zenu ni zile za sh2 umefika kwenu,na bado wazee mnajaa kwenye magari kama sisimizi wengine na ndinga zao za kifahari
ReplyDeleteikiwezekana wawekee na fare kabisa wanaoweza wajipime make wanahisi nauli zenu ni zile za sh2 umefika kwenu,na bado wazee mnajaa kwenye magari kama sisimizi wengine na ndinga zao za kifahari
ReplyDelete