AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMITINDO anayefanya vizuri katika urembo ambaye hivi karibuni aliingia mkataba wa mabilioni na kampuni ya Rainbow Shell ya China, Jokate Mwegelo amesema katika harakati zake za kusaka mafanikio, hajawahi kukanyaga kwa waganga zaidi ya kumtegemea Mungu pekee.
Jokate ambaye brand yake inakwenda kwa jina la Kidoti alisema; “Ninatumia akili yangu pamoja na watu wangu kutoka crew yangu hadi hatua tuliyofikia, mambo yakiwa magumu namlilia Mungu kwa kusali kila siku kwa imani yangu huwa naamini naweza kushinda bila kwenda kwa mganga.”
Binti huyo ni miongoni mwa wasichana wanaopata mafanikio kwa haraka na mmoja kati ya wabunifu wanaofanya vizuri. Wiki chache zijazo, bidhaa za kidoti zitakazotengenezwa na kampuni hiyo ya Wachina zitaanza kuuzwa sokoni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK