Kama Una Mapesa na Kisha Ukawa ni Mume wa Mtu wala Usihangaike Kumfuata Binti Anayeitwa Jack Wolper

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KAMA una fedha na kisha ukawa ni mume wa mtu wala usihangaike kumfuata binti anayeitwa Wolper.

Jacqueline Masawe ‘Wolper ’ amedai hawapendi  wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu na si rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.

Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake halafu mtu mzima hivi unakosa penzi la kweli. Mapenzi yenu yatakuwa ya chumbani tu,” alisema.

Hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na kijana ambaye ni rafiki hana pesa na wewe una kazi lazima akuonyeshe jinsi mapenzi yalivyo kwa kukuweka karibu kimahaba na wewe ukafaidi penzi kutoka kwake.

Wengi wenye fedha zao kuna wakati wananiona nina dharau, lakini mimi ni binadamu nahitaji haki yangu kama mwanamke, ninahitaji kuwa na mtu anayenijali na kuwa karibu na mimi.

“Kuna watu wanaamini fedha zao ndio kila kitu, kiukweli kwangu siyo hivyo ukileta mapenzi hayo lazima unione nina dharau.

Anasema wengine huwanyooshea vidole wasanii maarufu kama yeye kwa kuwaona kama vile ni malaya, lakini wanasahau kuwa nao ni binadamu.

“Kila binadamu anapenda na kupendwa,” alisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hili nalo neno!nimekupenda mdada.

    ReplyDelete
  2. kuna ukweli ndani ya ststement zako jack hongera kwa kulijua hilo

    ReplyDelete
  3. Msaka tonge wew

    ReplyDelete
  4. Msaka tonge tuu wew.e

    ReplyDelete
  5. Kuna kijana yupo ngoja niconsult nae nafkir utakipata unachokitaka......HEAVYYYYY

    ReplyDelete

Top Post Ad