Matokeo ya Mechi Kati ya Yanga na Azam Haya Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Afrika mwakani, Azam na Yanga zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

Azam ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofunga na Didier Kavumbagu dakika 6, Yanga walisawazisha kupitia Amiss Tambwe (7) na kupata la pili lililofungwa na Simon Msuva (57), kabla ya John Bocco aliyeingia akitoa benchi alisawazisha Azam dakika 65.

Kwa matokeo hayo Yanga imefikisha pointi 14, sawa na Azam, wakati Mtibwa Sugar imebaki kileleni ikiwa na pointi 16, baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Stand United jana asubuhi mchezo huo juzi ilivunjwa kutokana na mvua kubwa kunyesha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yanga ilitawala mchezo ila umaliziaji bado butu

    ReplyDelete

Top Post Ad