AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Udaku Specially Limenyaka Habari kuwa Mume wa Jack Cliff anayejulikana kwa jina la Abdulatif Fundikira ‘Tif’ amefunga ndoa kwa siri na Mrembo Salha Israel Ambaye Aliwahi kushiriki Mashindano ya Miss Tanzania ...Ndoa Hiyo ya kiserekali imefanyika kwa siri Jumapili iliyopita huku mke wa Abdulatif Fundikira wa Kwanza Jack Cliff Akiwa nchini China Akitumikia Kifungo Jela Baada ya Kukamatwa na Madawa ya Kulevya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Safiiiiii,hapo ndo umepata mke sio yule kicheche
ReplyDeleteMwandishi nenda kanyake na hili "kama wote ni waislamu kwanini wamefunga ndoa ya kiserikali?"
ReplyDeletehata mimi hilo nilikuwa najiuliza? au kuna nini?
DeleteUMEOLEWA NA ZUNGU LA UNGA POLE
ReplyDelete