Muimbaji wa nyimbo za injili Rose Muhando Katika Utapeli Mwingine Siku ya X-Mass

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Habari zilizoenea kwenye magazeti na mitandao ni kwamba Muimbaji wa nyimbo za injili Rose Muhando safari hii amemtapeliAlex Msama baada ya kupokea fedha kwa makubaliano ya kushiriki Tamasha la Krismasi kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa lakini siku ya tukio, Ijumaa iliyopita, mwanadada huyo hakutokea!
“Hii ni mara ya pili, kwenye uzinduzi wa albamu ya msanii John Lisu pale Diamond Jubilee (Dar), Rose alipokea shilingi milioni moja kutoka kwa Msama lakini siku ya uzinduzi hakutokea. Kusema ukweli huu utapeli wa Rose wa kuchukua fedha za watu halafu hatokei sasa imekuwa too much. Nimesikia habari kwamba ameogopa kutokea uwanjani hapa ambako tamasha lilifanyika kwa kuhofia mimba yake kuonekana maana kwa sasa ni kubwa.” Kimesema chanzo hicho cha habari
Una lipi la kumwambia Rose juu ya jambo hili? na unalizungumziaje jambo hili?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad