Sugu 'Tanzania Nchi Pekee Haijashusha Bei ya Mafuta'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo bado inayowauzia wananchi wake mafuta kwa bei ya juu licha ya kuwa bei ya mafuta katika soko la dunia kushuka kwa Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Halmashauri ya mamlaka ya mji mdogo wa Kyela na kusema kuwa kumekuwepo na bei kubwa ya mafuta nchini ikilinganishwa na nchi nyingine.
Mh. Mbilinyi, amedai kuwa bei hiyo ya mafuta ni kubwa ukilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo gharama za mafuta imeshuka zaidi ya nusu kutoka na kupatika kwa wingi kwa bidhaa hiyo kwa sasa duniani.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Joseph Mwachembe maarufu kwa jina la China amesema kuwa katika maeneo ambayo Chadema imeshinda kuongoza serikali za mitaa na vijiji, viongozi wake watafanya kazi kwa kuzingatia matakwa ya wananchi na sio maelekezo kutoka serikali ku.
Nao viongozi wa Ukawa mkoani Mbeya wamesema kuwa muungano wa vyama vinavyounda umoja huo umeonesha mafanikio makubwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na moto huo huo utaendelea mpaka kwenye uchaguzi mkuu ujao. ya asilimia 50.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad