AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Duh yaelekea huko nchi za nje kuna WACHUMBA wa dada zetu wengi hapa nchini maana kila mdada ukimuuliza mchumba wake anakuambia yupo NJE cha ajabu miaka inakatika wamuona yupo mwenyewe tu hebu nyie WACHUMBA mlio huko NJE rudini basi muje kuwaoa hawa wachumba zenu wanazeeka huku au kama mumepata wengine huko muwaruhusu basi waolewe na kina bwa. SHOMVI wa huku au fix zao tu hawa wadada?".
Eti wewe unaionaje hii….
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kila mdada nowdays mambo yote mchumba nje, mambo ya on line, si blogg zingine ziafanya hiyo kazi ya kutafutia wachumba nje, wanaume wa kibongo choka tu, mario walio wengi na wanawake ndio hao wanapeperuka kazi kwenu wakina kaka, mjipange, ama laa mtasubiri sana
ReplyDeleteNdugu zetu mliyonyumban bongo mnaugonywa wa kuchukia ndugu zenu tulioshindwa kupata ajira bongo kuhamua kusonga mbele sasa sijui mlitaka tuwe majambazi au mateja
ReplyDelete