AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtu Mmoja Raia wa Sierra Leone Ambaye jina lake halikupatikana kwa haraka amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kadhaa na Askari Magereza wa Mahakama ya Kisutu , Inasemekana mtu huyo alikuwa ni mahabusu ambae alikuwa amefikishwa mahakamani hapo kwa kosa la Kukamatwa na Madawa ya Kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya shilingi Mil 61 , Muda tu baada ya kufikishwa mahakamani hapo aliwatoroka Askari waliomsindikiza chooni kujisaidia na kuparamia fensi ya mahakamani ili kukimbia lakini kwa bahati mbaya askari waliona mchezo mzima na kummiminia Risasi zilizosababisha mauti yake.
~udakuspecially.com
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
shida
ReplyDelete