Habari Mpya Kuhusu Kesi ya Madawa ya Kulevya Inayomkabili Chid Benzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KESI inayomkabili mwanamuziki wa Hip hop nchini, Rashid Makwiro ’Chid Benz’, imeahirishwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam mpaka Januari 21, mwaka huu.

Mwanamuziki huyo anakabiliwa na kesi ya kukamatwa na madawa ya kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar wakati akisafiri kuelekea mkoani Mbeya kwa ajili ya kutumbuiza mwaka jana.

Kesi hiyo imesomwa mbele ya Hakimu Waliarwanda Lema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kakutwa na dawa za kulevya kwa nini kesi ichukue muda mrefu hivi?
    Hongo/ Rushwa eeeh!

    ReplyDelete
  2. Au hawana uhakika na kesi wanayo mpa!

    ReplyDelete

Top Post Ad