AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama ulikuwa na mbali na Radio yako ukapitwa na U Heard kwenye XXL ya leo January 30, Soudy Brown alikuwa na story kuhusu tetesi za uhusiano uliopo kati ya Producer wa MJ Records, Marco Chali na staa wa Bongo Movie, Jackline Wolper.
Gossip Cop alimtafuta Jackline Wolper lakini hakupatikana kwenye simu, alipomtafuta Marco Chali alikataa kujibu chochote kuhusu tetesi hizo ila alimjibu Soudy kwamba itabidi amtafute ili wafanye Interview kabisa kuhusu ishu hiyo.
Isikilize U Heard yote kwenye hii sauti hapa, bonyeza play.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo wolper naye analist
ReplyDelete