AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumzia maisha yake ya uhusiano mbele ya mwanahabari wa GPL, Kabula alisema anajivunia kuzaa na Chuz lakini kwa kuwa yeye hakupanga kuolewa na prodyuza huyo mkongwe, ni bora aoe kwani umri unamtupa mkono.
- “Chuz aoe tu sasa umri umeenda. Tena akioa mimi nitacheza muziki balaa siku hiyo, si unajua mambo yangu. Mbaya zaidi sina kabisa wivu naye,” alisema Jini Kabula.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK