Kocha Mkuu wa Simba Kopunovic Agoma Kupangiwa Kikosi na Kiongozi wa Juu wa Timu Hiyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali inayosemekana kuwa timu zetu kongwe za kariakoo jijini dar es salaam kuwa na tabia ya viongozi wa timu hizo kuwapangia makocha wachezaji wa kucheza match.



 leo hii kupitia kituo cha redio cha PRIDE FM YA MTWARA kwenye kipindi cha michezo kimetoa taarifa kuwa kocha mkuu wa simba Goran Kopunovic amempiga mkwara kiongozi wa juu wa timu hiyo ndugu GOERFREY NYANGE KABURU kuacha tabia ya kumpigia simu ya kumwambia asiwapange baadhi ya wachezaji kwenye wanazocheza wekundu hao wa msimbazi.

Baadhi ya wachezaji ambao KABURU amekuwa akiwataja ili wasipangwe ni Hassan Isiaka, Said Hamisi Ndemla na Tshabalala. Kwa style hii ya viongozi wa timu zetu za bongo kuwapangia makocha wachezaji wa kucheza kwenye match wala tusitarajie mabadiliko yoyote kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Hivi kweli kaburu ana sababu za msingi za kuwakataa hawa wachezaji wasipangwe kwenye match wanazocheza simba!!!!!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad