Luiza Mbutu Amtaja Aliyemfundisha Aisha Madinda Kuvuta Unga na Kusababisha Kifo Chake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa bendi ya Twanga Pepeta,Luiza Mbutu amesema kilichomfanya Aisha kutumia madawa ya kulevya ni uvutaji sigara uliompelekea kuvuta bangialiyofundishwa na Banza. Banza alikuwa anamchanganyia bangi na unga hadi ikafikia hatua ya kuwa addicted na na unga. Kabla ya Aisha kuaga dunia alikuwa ameachana na madawa ya kulevya,na kwenda Dubai kwa kudanganywa ni maswala ya bendi. Kumbe ni kwenda kuwa mfanyakazi wa ndani. Ndipo baada ya kukataa wakamnyang'anya pasport yake,ndipo akaenda kushtaki ktk ubalozi wa huko na kurudi Tanzania,akakutana na mashoga zake ambao alikuwa anatumia nao akawa anaendelea kutumia huku akiwa anatumia dawa za kuacha kutumia unga hadi kufikwa na mauti.
 Source: Radio Tumaini

-------------------
Every day I get up and look through the Forbes list of the richest people in America. If I'm not there, I go to work.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad