AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara nyingine tena leo kupitia mtandaoni ameonyesha hisia zake za kum-miss msanii wa bongo Fleva ,Marlow ambae kwasasa ameoa na ana familia ni moja kati ya wasanii waliotamba sana miaka mitatu minne iliyopita. Na hiki ndicho alicho kiandika;
"Kwani tulikukosea nini kaka!???mbona ukatuonjesha na kutuondolea burudani tena!???I believe ur talented tena sio kidogo, sio kwa kubana pua, sio kwa kusingiziwa pengine majukumu ya ki kazi au ya kifamilia yamebana. Lakini naamini u have something to offer the whole world....Rudi msaidiane kuendelea kupeleka mziki unapotakiwa kufika jmn...!
I'm a fan...a big fan unajua sana yani. Marlow Mkali"-Lulu alimaliza.
Hata mimi natamani sana jamaa arudi tena,Wewe je?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hata mm natamani
ReplyDeleteMimi pia
ReplyDeleteI too.
ReplyDeleteMe three
ReplyDelete