AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Reginald Mengi |
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
We administra kweli unaitaji kuwa kichwa kujibu ilo swali?
ReplyDeleteTuige mfano wake inaonesha hakukata tamaa ba leo amekua prof nami nampongeza
ReplyDeleteM W O N G O O O O O
ReplyDeleteHilo la kubadilisha jina na shule msilishangae sana. Wengi kutoka mkoa wa Mara hasa waliosoma miaka ya sabini themanini hadi early nineties lilikuwa common practice. Ndo maana unakuta wengine wana majina ya kiislam wakati ni mkristo and vice versa.
ReplyDeleteyule Muhongooooo, kumbe alianza uongo toka zamani? huyu jamaa inaonyesha hata hilo jina lake alilipata sababu ya tabia yake!!
ReplyDeleteLakini hii ni message nzuri, kwa hiyo Ndugu wananchi wa Taifa hili Tanzania hamna kukata tamaa dhidi ya mafisadi wanaotaka kuliangusha hili Taifa liwe hoi, tuwanganganie tu wote mwendo mdundo mpaka Taifa litapokaa sawa, NDONT GIVE UP
ReplyDeleteMuongo
ReplyDeleteMuongo
ReplyDeleteMuongo
ReplyDeleteMuongo
ReplyDeleteWengine wnangangania, waingie kwenye siasa kwa ajili tu ya tamaa zao, zilizowajaa, wanajua wataenda kuwaibia wanadam wanzao huko kwa kujifanya viongozi , ili wapate furaha na starehe wanazozitaka,
ReplyDeleteHili ni gumbo kaziyetu sisi nikujaribu kulifummbua kamailivyokua niaya mzeewetu mengi,kwangumm najaribu kufumbuakua,nchiyetu hatuendeshi mamboyetu,kwakufata sheria ILA nikwakila kiongozi anaamua vile mtu amtakae,ndiomana unaweza ukawa hatashule umepasi,lakini msahhshaji akaamuatu,kusema,umefeli,kiiufupi Nia ya mzeenikua,kilamtu,kilasekta,kiila kiongozi atimize wajibuwake,ili kuepuka kua na vionngozi walioteulia bila sofa,kwasabbu ya kujuana tu
ReplyDeleteWako wengi tu hao waliofeli darasa la 7 kisha wakaiba majina ya watoto walioacha shule au walifeli wakashindwa kusoma, wakasoma wao.
ReplyDeleteWako waliotumia majina ya watoto wa kiislamu waliodanganywa wamefeli wakasomea wao.
Marehemu Prof Kighoma Malima alijaribu kulirekebisha hili kwa kuleta system ya namba badala ya majina ili kuwasaidia watoto wa wanyonge waweze kupata nafasi ya kusoma.
Wizara ile naona ilikuwa inaongozwa na maripita wote lol!