AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yvonne Cherly ‘Monalisa’ |
“Mimi si gubegube, nikiamua kurudi na kufunga ndoa naweza tena nitaolewa kama Yvonne Cherly kwani ndilo jina langu halisi. Ninachokiwaza kwa sasa si kukaa ndani ya ndoa bali namna kazi zangu zitakavyoweza kuonekana zaidi,” alisema Monalisa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kuolewa ni majaliwa si kuamua kama unavyodhani... ndoa ilishakushinda uliachika mapema sana.... ... hao wanaume ulionao wanakuchezea tu, hakuna anaye fikiria kukuoa usijidanganye
ReplyDeleteMh unamaneno utadhani unamlisha monalisa lool tena umkomee
DeleteKila mtu ana mume au mume wake, ataolewa tu kwa mpango wa Mungu
Deletemonalisa hafai kuwa mke labda akutane na mwanume limbukeni asiyewajua wanawake.. monalisa amekalia tu MISIFA YA KIJINGA, NYODO na KUJITIA ANAJUA KILA KITU.
ReplyDeleteAnonymous 11:56 umeongea point: ni kweli kuolewa ni mpango wa Mungu na sio monalisa akitaka, yaani ni majaliwa ya mwenyezi Mungu na siyo matakwa ya monalisa. Kwa hiyo tunakubaliana na alichoandika Anonymous 5:24 hapo juu
ReplyDeletekazi ipo kinachokuludisha kwenye ndoa ni nini? kama hukushiba cha kwenye sahani cha kwenye kijiko utashiba acha ufala wewe endelea na uzinifu tu mwisho wa siku tukuzike
ReplyDelete