Mwigizaji Bond na William Mtitu Katika Beef, Baada ya Mtitu Kusema Yeye Ndio Atakaye Mzika Sio Wahindi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Hamida Hassan/Amani
Mtangazaji na msanii wa filamu Bongo, Bond Bin Salim  ‘Bond’ hivi karibuni amemtupia kijembe msanii na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Five Efects,’ William Mtitu kwa kuhmwambia kuwa msemo wake wa kuwazika watu yeye ndiye anawaua?

“Namshangaa Mtitu, naomba ahojiwe, je, yeye ndiye anawaua wasanii? Kwa nini anapenda kusema mimi ndiyo nitakuzika siyo Mhindi?” alihoji Bond.

Baada ya kijembe hicho mwandishi wetu alimwendea hewani Mtitu ambaye alifafanua msemo wake na kusema: “Mimi ninavyojua huo ni msemo, hivi wasanii wakifariki si tunazikana wenyewe kwa wenyewe? Je, kuna ubaya gani wa kusema mimi ndiyo nitakuzika? Sipendi kumuongelea Bond kwa sababu ni mdogo san
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad