AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la utangazaji la Afrika Kusini (SABC) limetoa amri ya kusimamishwa kwa Kipindi cha mchungaji huyo hadi itakapotangazwa tena, maamuzi yaliyotolewa baada ya video inayomuonyesha Mchungaji Zondo akiwa hajavaa nguo iliyowekwa kwenye mitandao. Video hiyo inaonyesha kuwa ilirekodiwa na mwanamke aliyekuwa amevaa skirt ya pink lakini hakuweza kutambulika.
Taarifa zinasema kuwa Zondo aliomba radhi kutokana na kuvuja kwa video hiyo, japo kulikuwa na mvutano pia wengine wakilaumu aliyevujisha video hiyo huku wengine wakimfata mchungaji huyo ajieleze kuhusu video hiyo.
Video iko hapo chini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK