AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na mambo mengi ya msingi katika maisha yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka jana niliitwa kwenye interview shiriki moja maeno ya Kijitonyama sayansi, nikiwa kwenye daladala kutokea mwenge kwenda posta nilijikuta nimefika posta kwa kumfuata mdada mmoja, baada ya hapo nikajikuta nimechelewa hiyo Interview na mbaya zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea na mimi baada ya kushuka kwenye dalala.
Waungwana Naombeni ushauri nifanye nini niache hichi kitabia?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo ostaz juma amefulia mpaka sasa hivi anafanya utapeli misikitini kwa kuwauzia waumini maji yenye marashi kwa kuwadanganya ni dawa ya maradhi yote ili apate pesa ya kudhamini mziki. Tukio hilo amelifanya Arusha Njiro alivyogundulika akakimbia kunsurika kipigo cha waumini
ReplyDelete