Njama za Kumrushia Wema Sepetu Mavi na Mkojo Kwenye Show Yake Yoyote Atakayo Fanya Zabainika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ujumbe huu umetoka kwa mmoja wa shabiki wa karibu wa wema sepetu anyetumia acount hii
@mtaawapili ya instagram :

"Bad new nimezipata jana kuhusu wemasepetu dah mpka nimelia kwa uchungu kwanini teamdiamond na teamzari wamejipanga vizuri kumrushia wema mavi na mkojo kwenye show yake yyote atakayo fanya jamani mtto watu amefanya nini kwanini msimtafuteni wagomvi wa daimond sio wema. kisa ni kile kichotokea last week sasa hapa wema anaingiaje halafu sisi wabongo werevu sana hiyo nyaukomwe watu wako wanamtukana kila siku kwako hakuna mtu yyote anayempenda ndio maana nguvu yake kubwa bongo someni kwenye blog zako umeone mambo yake halafu hajuwi cchote nyie ........ kali kabisa kumbe bibie ana mpambe wake mkubwa ktk kundi la daimond wanataka kumpotea wema kabisa kwenye game coz bibie anajuwa wakati wwote diamond atarudi kwa wema kicho kitu hakuna kabisa njaa mbaya na yule linda anavyomtukana wema yaani lam speechless mtu wa karibu sana na wema ana comment kila na kulike soon nitamtaja nani...salamu hizi ni kwa teamwema wote na wale wanaopenda wema ninachakufanya kustop kuchukua mfano wema mdogo wako utajisikiaje ukisikia hili dah kwani wema amekula kitu cha mtu pls muacheni pls.. Haya wadau hayo ndio yalojiri huku insta team zikijibizana una ushauri nn kuhusiana na tukio hilo" By Mtaa wa Pili

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ngojea kwanza na yeye akomeshwe ndio atajifunza kukaa vizuri na watu.

    ReplyDelete
  2. Heeeeeeeeeeeee siku nyingi haja andikwa kwa hivyo ndio umaarafu au ndio kutafuta umaarufu???? haki ya mungu saa ingine mie hutabika kwa kuona mambo ya ajabu....eehhh kazi kwenu.

    ReplyDelete

Top Post Ad