AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Isitoshe, Nyalandu aliongelea utawala wa Rais Kikwete kuwa ni utawala unaolindwa na majini saba, ingawa hakufafanua alimaanisha nini, lakini alishangiliwa sana na waumini wa Efata.
Anayejiita nabii na mtume Mwingira, naye aliongeza kuonesha wazi kuwa Nyalandu ndie chaguo lao.
My take: Huo ni udini wa wazi kabisa. Nyalandu ameanza kutumia kanisa analosali kuomba kura za waumini wake.
Kuna maneno ambayo yamemkosea adabu Mwenyekiti wa CCM, Professa Kikwete, kwamba analindwa na majini saba. Sina hakika kama maneno hayo ni rasmi ndani ya CCM au ni ya kanisa la Mwingira.
Wadau karibuni.
Source: Star TV live broadcast Mkesha wa mwaka mpya.
~Credits:Jamii Forums
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HAFAIIIII!!!!!!!
ReplyDeleteTANZANIA ITAENDELEA KUWA NA MICHOSHO TU KAMA VIONGOZI WENYEWEWE KAMA HAWA, AMWAGE SERA ZA NINI? ZA UONGO, NA UFISADI
ReplyDeleteviongozi wanaongiza dini na siasa ni hatari kwa Taifa, tena ni wa kumuogopa kama ukoma, in short huyu baba au kaka Hafaiiii
ReplyDeleteMpuuzi tu akitaka kuwa rais labda awe rais wa hilo kanisa lao la kishetani aka Freemason
ReplyDeleteusisema kitu ambacho huna hakika nacho tafadhali. Kanisa la mungu. japo alichofanya kanisani sio sahihi!!
DeleteMlokole mwenye kupenda totoz, hivi alisahau iliandikwa uzisini? Hakuna wokovu pasina matendo ya haki na kweli. Kwenye ujangili yumo, kwenye kugawa vitalu katika hali ya sintofahamu yumo. Haya na yeye atalindwa na mashetani wangapi?
ReplyDeleteCCM mchagueni huyo mpate anguko kuu, hata akipigiwa kampeni na nani watu tunamjua siku nyingi Nyalandu amejawa na chuki za kidini. Kiufupi ni mbaguzi wa watu kulingana na dini zao, na Mungu kamuumbuaje?
Na hilo kanisa aliloenda nalo ni la vituko kweli, wakati JK amechaguliwa awamu ya 1, walifunga na kusali siku 7 ili JK afe, waumini wakawa wanatoa ushuhuda wanasubiria afe, wamesubiri wee mpaka mwaka huu anatimiza vipindi vyake 2. Hivi wewe Mwingira unafikiri Mungu huwa anapokea maombi ya chuki za kijinga kijinga? Ndio maana umebaki kuwadanganya waumini wako eti JK analindwa na majini 7. Uliyaonaje kama na wewe sio jini? Hahahahaaa wewe kula pesa ya sadaka ponda raha achana na kusambaza ujinga.
hili jamaa bwege kweli, hata sijui lilikuwa linaongea nini? eti ndiyo aje kuwa raisi wa Tanzania, labda apigiwe kura na watu waliokufa!!
ReplyDelete